Tuesday, July 2, 2013

VITU VYA MOTO HAPANA

nawakaumbusha mnapotumia ASALI usiweke kwenye maji ya moto au chai ya moto sana kwasababu kwa kufanya hvyo utaua enzymes(vimeng'enyo) vyenye manufaa katika mwili!!
Asali ichanganywe kwenye maji au chai ya uvuguvugu ili kutoharibu uhalisia wake!!

No comments:

Post a Comment