Asali imekua ikitumika katika kutibu michubuko au vidoka toka zamani na ilitumika zaidi katika kutibu vidonda vya wanajesgi katika vita vya dunia!
Asali ina tabia za "kianti-bacteria" kwasababu ya gesi ya HYROGEN PEROXIDE inayopatikana na hivyo kufanya iwe na uwezo wa kupambana na bacteria lakini pia kuzuia mazingira ya bacteria kuzaliana!
Kutokana na sababu hizo ni vyema kutokosa asali katika sehemu tunazokaa ili kuweza kua na uhakika wa kujiponya wenyewe kwa haraka zaidi bila kuhangaika!
Pichani anaonekana mtoto mwenye michubuko ikiwa imepakwa asali ambayo ilikausha michubuko hiyo baada ya siku chache
No comments:
Post a Comment